tag:blogger.com,1999:blog-7405076116754779487.post5792206969730534945..comments2023-10-30T07:21:39.266-07:00Comments on JOHN MNYIKA: Mnyika: Katiba ina mapungufu 90John Mnyikahttp://www.blogger.com/profile/06318351914677487946noreply@blogger.comBlogger1125tag:blogger.com,1999:blog-7405076116754779487.post-51906170897991719642011-01-04T21:50:43.632-08:002011-01-04T21:50:43.632-08:00Hongera Mh. Mnyika kuwasirisha mapendekezo hayo.
...Hongera Mh. Mnyika kuwasirisha mapendekezo hayo.<br /><br />Sisi wakereketwa wa CHADEMA tunapenda kujua kwa kina uliyandikwa kwenye hayo mapendekezo walau tujue nini cha kuwaeleza wenzetu, wanautuuliza sana huku mtaani hasa majirani zetu wa kijani kijani.<br /><br />Pia tunapenda utupatie hayo mapungufu 90 yaliyo kwenye katiba, ili tujue vizuri kwa nini tunahitaji katiba mpya.<br /><br />Ahsante,<br />Mdau.Anonymousnoreply@blogger.com