tag:blogger.com,1999:blog-7405076116754779487.post93456193183011140..comments2023-10-30T07:21:39.266-07:00Comments on JOHN MNYIKA: Hatma ya Bajeti ya Nishati na MadiniJohn Mnyikahttp://www.blogger.com/profile/06318351914677487946noreply@blogger.comBlogger3125tag:blogger.com,1999:blog-7405076116754779487.post-61825038650090825382011-08-11T08:16:18.395-07:002011-08-11T08:16:18.395-07:00Asante Mh Mnyika, kweli siku hizi tuna viongozi wa...Asante Mh Mnyika, kweli siku hizi tuna viongozi wa kisasa, nashukuru kwa majibu.<br />Sidhani kama wakina magamba wangethubutu hata kufanya mnayofanya (except Mh Makamba!).Anonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-7405076116754779487.post-52693072796213815822011-08-11T07:52:43.130-07:002011-08-11T07:52:43.130-07:00Nitaanza harakati dhidi ya DAWASCO kuanzia wiki ij...Nitaanza harakati dhidi ya DAWASCO kuanzia wiki ijayo kuelekea bajeti ya Wizara ya Maji tarehe 22 Agosti 2011. MnyikaAnonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-7405076116754779487.post-4816702836365743252011-08-10T12:36:04.694-07:002011-08-10T12:36:04.694-07:00Mh Mbunge Mnyika. Hivi kwanini DAWASCO hawasimamiw...Mh Mbunge Mnyika. Hivi kwanini DAWASCO hawasimamiwi kidedea kama TANESCO?<br />Tuna vyanzo vingi vya maji, hawa jamaa wala hawachimbi, wala kusambaza na pia hata uwajibikaji wao wa kutusambazia huduma ya lazima wala hawana habari nayo.<br />Zaidi tu tunasikia wanaohusika kutajwa kuwania nafasi ya uraisi bila ya wao kutuonyesha wanatujali kivipi sie wananchi.<br />Huduma ya MAJI na UMEME, kwa wananchi Mh. Mnyika ni ya LAZIMA.<br />Ebu ipigie debe tuweze kufaidika.Anonymousnoreply@blogger.com