Monday, January 26, 2015

Tumezindua ujenzi wa barabara za; Mbezi mwisho-Goba-Tangi Bovu, Barabara ya External –Kilungule, Barabara ya Msewe-Baruti!

Uwekaji wa jiwe la msingi kuzindua rasmi ujenzi wa barabara ya Mbezi mwisho-Goba-Tangi Bovu

Jitihada za kibunge na nje ya bunge katika kupambana na kero ya maji jimboni Ubungo (na Jiji la Dar es Salaam kwa ujumla)

Kwa muda mrefu Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika amekuwa akifanya jitihada za kibunge na hata nje ya bunge kuhakikisha utatuzi wa kero ya maji unapatikana.

Jitihada za kibunge na changamoto zake:


Akiwasilisha kwa wananchi:

Bado msimamo na udhabiti wa kutetea wananchi katika kuhakikisha kero ya maji inatatuliwa ndani ya jimbo la Ubungo inaendelea. 

Maslahi ya Umma Kwanza!

MUHIMU: Je umesoma Katiba Pendekezwa? Soma sasa hapa

Karibuni kusoma nakala ya Katiba Pendekezwa. KATIBA_INAYOPENDEKEZWA_02.10.2014.pdf


Kwa nakala hii inatoa fursa kujua mapendekezo yetu wananchi tuliyoyatoa mbele ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Jaji Warioba je yamezingatiwa au lah.

Mshirikishe mwananchi mwenzako mwingine!