Wednesday, July 1, 2015

Muswada wa kuwalinda watoa taarifa na mashuhuda (The Whistleblower and Witness Protection Act, 2015). Soma; shauri/toa maoni yako sasa!

Muswada wa kuwalinda watoa taarifa na mashuhuda 
(The Whistleblower and Witness Protection Act, 2015):
Karibu sasa kuusoma muswada ambao unajadiliwa bungeni, shiriki kwa kutoa maoni yako au ushauri. Unaweza kutuma kwa baruapepe: mnyika@yahoo.com na mbungeubungo@gmail.com

Au kuniandikia maoni yako katika mitandao ya kijamii, kwa Twitter: @jjmnyika na Facebook Page: John Mnyika.

Tushiriki sote ujenzi wa Tanzania tunayoitaka.

John Mnyika (MB)
Julai 1, 2015
Bungeni, Dodoma, Tanzania

Soma sasa Miswada mitatu muhimu: Gesi, Petroli na Uziduaji "Extractive Industries". Tushauri na kuchangia!

Muswada juu ya Petroli, 2015 (The Petroleum Act, 2015):


Muswada juu ya Usimamizi wa Mafuta na Gesi, 2015 
(The Oil and Gas Revenues Management Act, 2015):

Muswada juu ya tasnia ya Uziduaji Tanzania (The Tanzania Extractive Industries Act, 2015):

Karibuni sana wananchi kusoma miswada hii muhimu hasa kwa neema ya rasilimali asili ambazo tumejaliwa Tanzania. Kwa maoni au ushauri niandikie: mnyika@yahoo.com na copy: mbungeubungo@gmail.com

Pia unaweza kuniandikia ktk mitandao ya kijamii ya Twitter: @jjmnyika na Page ya Facebook: John Mnyika

Natanguliza shukrani zangu za dhati. 
Tushirikiane sote kuijenga nchi yetu Tanzania.

John Mnyika, (MB)
Julai 1, 2015
Bungeni, Dodoma, Tanzania