Wednesday, July 1, 2015

Muswada wa kuwalinda watoa taarifa na mashuhuda (The Whistleblower and Witness Protection Act, 2015). Soma; shauri/toa maoni yako sasa!

Muswada wa kuwalinda watoa taarifa na mashuhuda 
(The Whistleblower and Witness Protection Act, 2015):
Karibu sasa kuusoma muswada ambao unajadiliwa bungeni, shiriki kwa kutoa maoni yako au ushauri. Unaweza kutuma kwa baruapepe: mnyika@yahoo.com na mbungeubungo@gmail.com

Au kuniandikia maoni yako katika mitandao ya kijamii, kwa Twitter: @jjmnyika na Facebook Page: John Mnyika.

Tushiriki sote ujenzi wa Tanzania tunayoitaka.

John Mnyika (MB)
Julai 1, 2015
Bungeni, Dodoma, Tanzania

No comments: