Wednesday, September 9, 2015

Ziara ya Mgombea Urais wa CHADEMA(UKAWA) Ng. Edward Lowassa jimboni Kibamba






Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA ndugu Edward Lowassa alifanya mkutano wa hadhara Mbezi jimboni Kibamba Jumatatu Septemba 7. Mkutano huo uliokuwa umejawa na hamasa na umati mkubwa wa aina yake ulimuombea kura Mgombea Ubunge Jimbo la Kibamba Ndugu John John Mnyika na Madiwani wake Sita pamoja na Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo Ndugu Saed Kubenea.

No comments: