Tuesday, July 18, 2017

Mazishi ya Mzee Mchungaji Mwasiwelwa




Jana, Julai 16 niliungana na wananchi wenzangu wa King'ong'o na kwingineko kumpumzisha Mzee wetu, Mch. Mwasiwelwa-Baba wa Mwenezi wetu, Perfect.

Mwenyezi Mungu amjalie pumziko la milele. Aipe pia faraja na utulivu familia na wote ambao wameguswa na kuondokewa kwa Mzee wetu.

John John Mnyika,
Mbunge wa Kibamba,
Julai 18, 2017

No comments: