




Baada ya kufanya mkutano eneo la Ubungo mkabala na kituo cha mabasi ya Daladala, niliongozana na wananchi ambao kwa hiari yao wenyewe walipatwa utashi kuungana nami kwenda kituo cha Polisi Mbezi kwa Yusuf kufatilia viongozi, wanachama wa chadema na vifaa mbalimbali Jeshi la Polisi lilivikamata kabla ya kuanza kwa mkutano.
Baada ya mvutano wa muda mrefu takribani masaa mawili na nusu ndipo Jeshi la Polisi lilikubali kuachia vifaa vyote na viongozi/wanachadema waliokamatwa.
No comments:
Post a Comment