Friday, June 30, 2017

MUHIMU: Nini maoni yako juu ya miswada iliyowasilishwa kwa hati ya dharura


MUHIMU:

Nawaomba wananchi wenye maoni/maboresho juu ya miswada (rasilimali+madini) iliyowasilishwa bungeni wanitumie kwa:

mbungekibamba@gmail.com‬

ISOME kupitia link hii: http://parliament.go.tz

John John Mnyika,
Waziri Kivuli-Nishati na Madini,
Mbunge wa Jimbo la Kibamba


No comments: