Monday, June 5, 2017

TANZIA: Mzee Philemon Ndesamburo


04 Juni, 2017: Niliweza kuwasili salama Moshi, KDC nyumbani kwa Mzee wetu Philemon Ndesamburo tayari kwa ajili ya shughuli ya kumpumzisha Mzee. Nikisaini kitabu cha maombolezo. 

Mwenyezi Mungu amjalie pumziko jema la milele.

John John MNYIKA,
Mbunge-Jimbo la Kibamba,
Moshi, Juni 05, 2017

No comments: