Saturday, December 22, 2012

‘SUMATRA idhibiti nauli Kibamba’

na Betty Kangonga

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imetakiwa kudhibiti nauli za daladala zinazofanya safari zake katika barabara ya Morogoro.

Inaelezwa kuwa daladala zinazokwenda Kata ya Kibamba zinatoza sh 650 na zile zinazokwenda Kiluvya zikitoza sh 900.

Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), alisema jana kuwa katika kikao kilichoketi Oktoba 4, mwaka huu alimkumbusha mwakilishi wa Sumatra kushughulikia tatizo hilo, lakini hadi sasa hakuna hatua zilizochukuliwa.

Alisema pamoja na Sumatra kutangaza nauli ya daladala Machi mwaka jana na kutaja eneo lenye nauli zaidi ya moja, lakini hakuna uwiano unaostahili baina ya njia za Kibamba na za maeneo mengine yenye umbali mrefu.

“Sumatra inapaswa kutoa maelezo kwa umma kuhusu hatua iliyofikiwa katika kudhibiti nauli za njia zinazokwenda Kata ya Kibamba ambazo zina wastani wa sh 650, huku njia nyingine zenye urefu zaidi au unaokaribiana na wa njia za Kibamba wastani wake wa nauli ukiwa sh 500,” alisema Mnyika katika taarifa yake kwa vyombo vya habari.

Alisema kwa nauli zilizotangazwa na mamlaka hiyo njia ya Kibamba hadi Kariakoo inapaswa kuwa sh 650, Kibamba hadi Muhimbili sh 650, Kibamba mpaka Magomeni sh 650 na Kibamba hadi Kivukoni sh 650.

Mnyika alisema njia nyingine ndefu zaidi au zenye umbali unaokaribiana na ule wa Kibamba zinatozwa kiwango kidogo akitolea mfano Gongo la Mboto hadi Mwenge sh 500, Kitunda hadi Ubungo sh 500, Mbagala Rangitatu hadi Ubungo sh 500.

Chanzo: http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=43732

1 comment:

Anonymous said...





Just as the gods used WWII to justify an influx of new technologies, including the voice in your head, so will they use the impending pestilence which kills over half the world's population to justify historical medical advances, including the "cure of aging", initiating the "1000 years with Jesus on Earth", despite biotechnology already accomplishing these goals.
We've seen this tactic used recently with AIDS, targetted at homosexuals and blacks in Africa.
Then, as promised, The End will come with fire::::Global tectonic subduction.

There was a very real perception that bi-racial was much worse for the white than it was for the person of color. The liberal culture, which was designed and promoted with the god's tools to achieve their Apocalyptic goals, screamed racism when there was a very reasonable explanation for this reality::::
In this white punishment known as the United States the person of color has already adopted the disfavors/temptations intended for another race. But by associating/mating with a person of color the white is newly adopting the disfavors of another culture.
And this is the reason why people of color are not welcome in the United States. The gods control everything:::The perception they want to create, the thoughts they want you to have.
People of color can't recover from absorbing the temptations from two cultures. And why they become more and more like so many blacks in America:::Veterans at absorbing the temptations of two cultures.
To further illustrate this is why California's educational system/funding was ranked #1 when California was white:::Education being the basis of the affluent economic system. Now even public higher education has become unaffordable.

Don't forget the lessons the 'ole white preacher taught:::Dancing is a sin, spare the rod spoil the child.
The gods used the liberal tool to ridicule away so many taboos, paving the way for the decay of society and ultimately the End Times::::::
Black behavior was controlled by the KKK. Men's behavior was controlled by marriage for thousands of years.
When married by 15 men never gained the taste of promiscuity. Once the gods used the budding liberalism tool the men set the tone for the deteriorating enviornment centered around their gross disfavor.
Women's relinquishing control of pre-arranged marriage will be what costs mankind everything in The End. It's all their fault. Men are pigs, essentially just primally responsive disfavored beings who if given the freedom will abuse based on the impulses the god's push them into. Whereas under pre-arranged marriage this behavior was contained now the promiscuous fraternity house epitomizes the pinnicle of what a "real man" should be like. And sadly the women fall into line.

The gods behave monsterously in the course of managing Planet Earth but they demand people be good if you are to have a chance to ascend in a future life.
Not only is doing the right things important (praying, attoning for your sins, thinking the right way:::accepting humility, modesty, vulnerability), so is avoiding the wrong things important as well:::"Go and sin no more".
You NEED active parents who share wisdom to have a real chance to ascend into heaven in a future life, and you MUST be a good parent as well to have that opportunity. Once your children have been raised something changes, something has been decided about you. This is exactly that.