Changia

M4C Dar es Salaam. Tunayo Nguvu.

"Watu kuongelea mabadiliko, wengine ujaribu kuyaepuka na wachache ushiriki kuyaleta"

Changia sasa kupitia M-Pesa.

111333


4 comments:

Anonymous said...

Pole na kazi.
Mimi nilikuwa na hoja niseme. Ni watu wengi sana wamepoteza maisha kwa sababu ya ajali za barabarani.
Lakini mpaka sasa leseni za kuendesha magari bado unaletewa nyumbani, ukitoa laki moja unaletewa mbaka ulipo. Kwa mtazamo wangu naona chanzo cha ajali nyingi ni uzembe unaotokana na kutojua Sheria kwa vile hakuna mafunzo yoyote anayopata kwa vile akijua kuingizia gear tu ameshakuwa dereva.
Je hata Hilo pia serikali limeshindwa ?
Wazo kuu- Je vyuo vya mafunzo vipo vingapi ? Uwezo wake,na Je kila dereva anapitia chuoni ,muda gani ? Nk
Jaribu kui frame vizuri unaweza kusaidia.

Unknown said...

Kwa hali hii wanaotekwa lazima wakae kimya wasiwataje wanaowateka na kuwasulubu watabaki kimya maisha yao yote.
tembelea
www.youtube.com
search ULIMBOKA ON SCENE
http://www.youtube.com/watch?v=ULaxj2rh3Ac

Anonymous said...

Mbona hii blog haipo updated? Toka mwanzon mwa mwz naona habar ni ilelile! Napenda kutembelea hii blog lkn sipati habar mpya! Mkuu najua uko busy, waonaje kama ukitafta kijana na kumpa ajira ya kucontrl blog yako, tupate update kwan moja ya sifa ya blog ni kuwa updated, kama ukiweza yu can hire someone as bloger for your blog, na pia utakuwa umetoa ajira kwa vijana kujiweza kiuchumi!

JEREMIA J.PYUZA said...

Hello Hon. John Mnyika my names are Jeremia Pyuza ,a young laboratory scientist, medical student at KCMC,author and a social entrepreneur,also professional trained for professional development. For some years I have been working to motivate students in secondary schools ,to date I have written two books one called Laboratory Medicine the cornerstone for evidence based medical practice it is available on Amazon with same name.
Another book which is aimed at helping people to learn new skills and make efficient and effective use of their time while at school being high school, university and even at work.The title of the book is Climbing to the peak of learning success.An evidence guide for turning your learning into a smart ,enjoyable and successful journey. Here is amazon link https://www.google.com/url?sa=t&source=web&rct=j&url=https://www.amazon.de/CLIMBING-PEAK-LEARNING-SUCCESS-EVIDENCE-BASED-ebook/dp/B07BPFSMLV&ved=2ahUKEwjyuvK5z7rcAhWFyKYKHXWGCKsQFjAAegQIAxAB&usg=AOvVaw0HGNcTYDTVTOYk4NndRk5 The book was launched on 31/ 05/2018 at KCMC by senior members of KCMC who were Prof.Egbert Kessi,Prof.John Shao ,Prof.Sia Msuya together with KCMUCo amd KCMC community. After book launching many parents and students bought the book and I have received a lot feedback asking me to spread the good news on availability of this learning tool but alone I can not,that is why I'm writing to you so you can help me to reach more people for I know for sure this work worth your energy and concentration.You have many people who are supporting education improvement of which If I get connected we can make learning an amazing experience among student in all levels. You can easily visit my YouTube channel here( https://youtu.be/mKZMw0AExMs) to see the launching event.