
Wakina mama huwa wakati mwingine wanakosa fursa ya kushiriki katika mikutano ya hadhara wakisaka maji. Nina wafata huko huko waliko wanakochota maji nikiwaelewesha namna nitakavyosimamia utatuzi wa kero ya maji

Diwani wangu Mushi wa Goba akilakiwa na wanaGOBA!Chagua madiwani wa CHADEMA!CHAGUA MNYIKA
No comments:
Post a Comment