Wednesday, July 1, 2015

Soma sasa Miswada mitatu muhimu: Gesi, Petroli na Uziduaji "Extractive Industries". Tushauri na kuchangia!

Muswada juu ya Petroli, 2015 (The Petroleum Act, 2015):


Muswada juu ya Usimamizi wa Mafuta na Gesi, 2015 
(The Oil and Gas Revenues Management Act, 2015):

Muswada juu ya tasnia ya Uziduaji Tanzania (The Tanzania Extractive Industries Act, 2015):

Karibuni sana wananchi kusoma miswada hii muhimu hasa kwa neema ya rasilimali asili ambazo tumejaliwa Tanzania. Kwa maoni au ushauri niandikie: mnyika@yahoo.com na copy: mbungeubungo@gmail.com

Pia unaweza kuniandikia ktk mitandao ya kijamii ya Twitter: @jjmnyika na Page ya Facebook: John Mnyika

Natanguliza shukrani zangu za dhati. 
Tushirikiane sote kuijenga nchi yetu Tanzania.

John Mnyika, (MB)
Julai 1, 2015
Bungeni, Dodoma, Tanzania

No comments: