Thursday, September 16, 2010

Mikutano yangu ya Kwembe,Kisopwa, Kiluvya na Msigani





Nikiwa na Mgombea Udiwani Kata ya Msigani

Wazee pia hujitokeza kwa wingi katika mikutano yangu. Hunihamasisha niendelee na harakati za kuletea maendeleo jimbo la Ubungo.

Miongoni wa makamanda akikusanya mchango wa mwananchi, michango ambayo huwa ni yahiyari kuwezesha kampeni zangu. Asanteni sana nyote mnaonichangia kuwezesha safari hii ya ukombozi wa jimbo la Ubungo.

Sehemu za fedha zilizokusanywa zikihesabiwa. Huwa tunatangaza kila mkutano kiasi tulichokipata papo hapo!

Peopleeee.........Powerrrrrr.......!!!!!!!!!!!!!!!!


No comments: