Saturday, September 18, 2010

Karibu Mikutano, 19.09.2010 Saranga/Kimara na Sinza

Ndugu,

Napenda kuwakaribisha mashabiki,wanachama,na wananchi wote katika mikutano yangu ya leo Jumapili,19.09.2010.Saranga/kimara na Sinza.

Saranga/Kimara; Mkutano wa ndani saa nne(4) asu mpaka saa sita(6) mchana(Thibitisha ushiriki;0715-393906/0755-393906).

Sinza,mkutano wa hadhara katika uwanja wa Seven Up eneo la Kumekucha kuanzia saa tisa(9) alasiri mpaka saa kumi na mbili(12)jioni. Tutazindua rasmi kampeni za mgombea Udiwani Kata ya Sinza, Ndugu Renatus Pamba.

Njoo ushiriki nasi katika safari hii ya ushindi-Wahimize na wengine unaowajua. Hakika Tunashinda!!


Daima; "Maslahi ya Umma Kwanza"!

1 comment:

Anonymous said...

Kaka Mnyika, japo sitakwepo ila nakuunga mkono mia kwa mia, tupo pamoja.