Kupitia mdahalo huu, tuliweza kutanabaisha nini hasa tunu ya CHADEMA kwenu watanzania wote, na hivyo kuwapa fursa adhimu ya kuweza kufanya maamuzi mkiwa na taarifa kamili ya malengo yetu mema kwa Taifa letu na mustakabali wake.
Naamini, kwa waliopata fursa ya kuufatilia mdahalo-Hawatadanganyika!Watafanya maamuzi sahihi ya Kukichagua CHADEMA kuanzia ngazi ya Udiwani, Ubunge na Urais.



No comments:
Post a Comment