Friday, September 17, 2010

Karibu mikutano ya ndani; Msigani/Mbezi na Makuburi 18.09.2010

Karibu kuunga mkono na kusikiliza sera; jumamosi 18.09.2010.
Mikutano ya ndani itafanyika katika kata ya Msigani/Mbezi kuanzia Saa 4 asubuhi hadi saa 6 mchana(wasilisha jina endapo unapenda kuhudhuria;0655-106368).

Makuburi saa 10 alasiri hadi saa 12jioni (wasilisha jina endapo unapenda kuhudhuria;0718-346811).

Njoo usikilize sera za kulibadili jimbo la Ubungo!
MASLAHI YA UMMA KWANZA.Mtaarifu mwenzako

1 comment:

WEB CREWS INC said...

Tanzania haikuwahi kuota ndoto ya watu wezi na wenye uchu wa madaraka. utendaji mzuri wa mtu ndio mafanikio ya walio wengi.Ahadi zisiwe chanzo cha mlinganyo wa uwongo + ukweli= mafanikio.