Tuesday, September 14, 2010

Mkutano wa Magomeni Kagera

Nikihutubia Mkutano wa Magomeni Kagera


Alhaji Kabunda akihutubia na kusisitiza jambo, pembeni yangu ni mgombea udiwani mwanamke pekee katika jimbo la Ubungo-Farida Momba.

Wakati mwingine tunahakiki nyaraka vizuri na kujadiliana. Ni kashfa za uuzaji wa viwanja vya wazi katika jimbo la Ubungo. Kashfa ambayo niliianika hadharani kupitia mkutano wa Magomeni Kagera

Kamanda Kotide akifanya vitu vyake kabla ya hotuba kuanza. Ni miongoni mwa hazina ya makamanda wenye karama ya uimbaji ndani ya CHADEMA.

Alhaji Kabunda, Mgombea Udiwani Kata ya Manzese

Umati wa Wananchi wa eneo la Magomeni-Kagera wakifatilia mkutano wangu.

No comments: