Friday, May 28, 2010

Tuwekeze kwenye oganizesheni ya michezo


KUTOKA MAKTABA: Nikitoa zawadi kwa Mburahati Queens kwa kuchukua ubingwa wa soka la wanawake. Katika hotuba yangu fupi siku hiyo pamoja na mambo mingine nilitoa mwito kwa mkazo kuwekwa katika kuwekeza katika oganizesheni ya michezo kuanzia ngazi za chini. Hii ni pamoja na kulinda maeneo ya wazi na kujenga viwanja vya michezo, kuwekeza katika mafunzo na kuwezesha michezo kujiendesha kibiashara

No comments: