![]() |
| Shangwe!!Mnyika akinyanyuliwa juu baada ya Jaji kumtangaza ni Mbunge halali wa Ubungo tena. |
| Mnyika akipongezwa na baadhi ya Jamaa waliofika mahakamani hapo. |
| Wanachama wa CHADEMA pamoja na washabiki mbalimbali wa Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mh Mnyika wakishangilia Ushindi wa Kesi ya Mbunge wao. |
| Askari polisi walikuwepo pia kuhakikisha ulinzi wa kutosha katika njia walizopita wapenzi wa CHADEMA kusherehekea ushindi wa Mbunge wa Ubungo. |
| Mh Mnyika alipokuwa akiwasili mahakamani jana asubuhi. |
| Mnyika akisindikizwa kuingia mahakamani jana asubuhi,kushoto ni Diwani wa Sinza, Bw.Renatus Pamba. |
| Akisalimiana na Mwenyekiti wa CHADEMA,Mh Freeman Mbowe ndani ya mahakama jana. |
PEOPLEEEEEEES!!!!!!!!!
Kutoka Page ya Twitter ya Mnyika:
John Mnyika @jjmnyika
Ushindi
huu ni wetu sote kwani ktk kura elfu60+ ifahamike yangu ni moja
tu!Hivyo ushindi huu ni faraja kwa wote walioguswa na ushindi 2010.

1 comment:
pongezi nyingi na Mungu akulinde
Post a Comment