Sunday, May 13, 2012

Buriani mwanahabari na mwanamichezo Rachel Mwiligwa

Marehemu Rachel Mwiligwa hakuwa tu mwandishi na mhariri wa habari za michezo na burudani bali alishiriki michezo na buradani kwa vitendo. Mara ya mwisho kukutana naye ni wakati wa bonanza TP Sinza yeye akiwa mratibu; nitashiriki katika maziko yake. Naungana na familia na tasnia nzima ya habari katika kipindi hiki cha majonzi; Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema

No comments: