Monday, January 26, 2015

Jitihada za kibunge na nje ya bunge katika kupambana na kero ya maji jimboni Ubungo (na Jiji la Dar es Salaam kwa ujumla)

Kwa muda mrefu Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika amekuwa akifanya jitihada za kibunge na hata nje ya bunge kuhakikisha utatuzi wa kero ya maji unapatikana.

Jitihada za kibunge na changamoto zake:


Akiwasilisha kwa wananchi:

Bado msimamo na udhabiti wa kutetea wananchi katika kuhakikisha kero ya maji inatatuliwa ndani ya jimbo la Ubungo inaendelea. 

Maslahi ya Umma Kwanza!

No comments: