Wednesday, April 1, 2015

Pitia Muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao



Ndugu zangu,

Ni muhimu tupitie muswada wa sheria za kudhibiti uhalifu mitandanoni na kuichambua kwa kina na kutoa maoni yetu kabla ya kupitishwa kuwa sharia.




Usome kwa kupitia link hii
 (Kiswahili ni kuanzia ukurasa wa 29)

No comments: