Saturday, July 17, 2010

RIP: Profesa Mwaikusa, Gwamaka na Mtui

Unahitajika mkakati wa pekee kukabiliana na ujambazi maeneo ya pembezoni mwa DSM kama Salasala, Mpiji Magoe, Goba, Temboni, Kwembe, Saranga nk. Wananchi wanalipa kodi wakitarajia kwamba moja ya jukumu kuu la serikali na vyombo vyake ni kulinda usalama wa maisha yao na mali zao. RIP: Profesa Mwaikusa, Gwamaka na Mtui.

No comments: