Monday, October 11, 2010

Kumsimika Balozi na uzinduzi wa shina





Katika mfumo wa vyama vingi, CHADEMA ipo mstari wa mbele kuweka mabalozi wa mtaa ambao watahudumia si tu wanaCHADEMA bali wananchi wote kwa ujumla. Pia kufungua mashina mengi sana

No comments: