Saturday, March 24, 2012

Kampeni kuelekea uchaguzi wa Udiwani Kata ya Vijibweni,Temeke

Nikiwa namnadi mgombea wetu wa Udiwani CHADEMA kata ya Vijibweni Ndg.Isaya Mwita Charles
Nikisisitiza kwanini tunahitaji mtuunge mkono ewe mwananchi kuhakikisha kata ya Vijibweni inapata diwani toka CHADEMA. Manispaa ya Temeke ni pekee mkoa wa Dar es Salaam isiyokuwa na Diwani yoyote wa kata wa CHADEMA! Inawezekana....tuungane sasa kuhakikisha anapatikana Ndg. Isaya Mwita Charles anakuwa diwani na kuleta fikra mbadala zenye kuharakisha maendeleo!

No comments: