Saturday, January 19, 2013

Ziara Jimboni: KATA YA MANZESE 08 Desemba, 2012

Ziara ndani ya Jimbo: muendelezo wa kutembelea maeneo mbalimbali ya jimboni. Jana, Desemba 08, 2012 ziara kubwa ilifanyika katika kata ya MANZESE.

Ziara ilimudu kutembelea ofisi ya kata (Kilimani), kufungua misingi katika mitaa ifuatayo; Kilimani, Chakula bora, Mvuleni, Midizini, Mwembeni, na Mnazi Mmoja.

Kisha mkutano wa hadhara na wananchi wa mtaa wa Mnazi Mmoja.


No comments: