Friday, December 17, 2010

Pigo kubwa la Kuondokewa na Jabari la Muziki


Ndugu zangu wanamuziki nchini, wakazi wenzangu wa Kata ya Sinza, wanajimbo zima la Ubungo na Taifa zima kwa ujumla. Kama nilivyosema hapo awali-Napenda kutoa rambi rambi zangu za dhati kwa kuondokewa na jabali katika tansia ya muziki nchini, Hayati Dr. Remmy Ongala. Ni vyema tukatumisha kile alichokuwa anatufunza kupitia tungo zake. Na kuendelea kupatumia jina la "Kwa Remmy" eneo lile la Sinza kama tufanyavyo sasa.

No comments: